TANZANET-KANDORO PRIZE

TANZANET - Tuzo ya Kandoro 2003

Jopo la TANZANET la Tuzo ya Kandoro kwa niaba ya Jumuiya ya TANZANET linayo furaha kumtunukia Mshindi wa Tuzo hiyo kwa mwaka 2003 Malenga Ustadhi Amiri Sudi Andanenga (Sauti ya Kiza) kwa mchango mkubwa na umahiri wake katika ushairi ikiwa ni pamoja ukuzaji wa lugha ya Kiswahili. Watanzania, marafiki wa Tanzania na wapenzi wote wa Kiswahili sehemu mbalimbali duniani wanayo furaha kuikabidhi tuzo hiyo kwa Ustadhi Andanenga kwa kazi zake mbalimbali magazetini, redioni pamoja na vitabu vyake vya ”Diwani ya Ustadhi Andanenga” na kile cha ”Bahari ya Elimu ya Ushairi”.

Certificate of Merits

TANZANET Kandoro Prize Committee, on behalf of the TANZANET Community awards a 2003 Tanzanet Kandoro Prize to poet Amiri Sudi Andanenga (Sauti ya Kiza) of Kinondoni Shamba Dar Es Salaam, Tanzania.
The prize has been awarded in recognition of Poet's mastery of Kiswahili verse and contribution to the language. He has produced extensive body of work in newspapers and for the radio and especially his epic work ”Diwani ya ustadhi Andanenga” and ” Bahari ya elimu ya ushairi”

2003 Presentation pictures

Dr. Aziz Ponary Mlima     

Ms. Gertrude N. Malai

Chairperson, 2003

Representative Member

Kandoro Prize Committee     

Kandoro Prize Committee

Gothenburg-Sweden     

Dar Es Salaam-Tanzania